Adsterra netwok

https://www.effectiveperfomancenetwork./iimttpr57?key=9e991b2ffa81bb3fcdaa457a2bdb33ba

Wednesday, May 19, 2021

UFUGAJI WA KAA

 Ufugaji wa kaa ni moja ya aina ya ufugaji Jamii ya samaki,kaa pia hufugwa kwa njia nyingi mfano njia ya kizimba,bwawa/kalo nk.Katika ugugaji wa kaa kuna mambo ya kuyazingatia pindi unataka kufuga ambayo ni: ENEO LA KUFUGIA,UPATIKANAJI WA MBEGU,USALAMA WA ENEO,VITENDEA KAZI VYA KUTOSHA,UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA KIJAMII NA UHAKIKA WA SOKO.Kaa ni kitoweo kizuri kilichojaa ladha ya asili,nyama yake ni nyeupe ambayo inaweza kupikwa kama supu style au kutiwa viungo kua mboga,na pindi imetiwa viungo kwa asiyejua anaweza sema mithili ya mayai yaliotiwa viungo.Nyama ya kaa inapatikana baada ya kuchemshwa na kupasuliwa hutolewa nyama iliyo ndani ya mwili wake,ni vigumu kukadilia uwingi au uzito wa nyama ya kaa kea muonekano wake ingawa Kaa mkubwa anauwezekano wa kua na nyama nyingi zaidi ya mdogo.Ili uweze kupata nyama ya Kaa umchemshe kabla aujotoa ma gamba yake kwa maana chemsha mzimamzima adi aive na akiiva magamba yanabadilika rangi ya Karoti/njano na utahisi harufu inayonukia zaidi na utawatoa jikoni na kuwaacha kDa muda kidogo wapoe kabla ya kuanza kuwapasua kutoa nyama,katika kuchemsha zingatia usitie chumvi wenyewe wanajitegemea wanachumvi ya asili.Hadi sasa umeshaa kumfaham kaa tukutane kea page inayofata🤔👇🏽Kufafanua mambo ya kuzingatia kea ufugaji wa kaa Kama nilivyoolodhesha☝🏾awali.

No comments:

Post a Comment

Kitanda free delivery

 @kitandafreedelivery  Piga/SMS/WhatsApp: 0785322941 YANAFANYIKA MALIPO BAADA YA KUFIKISHIWA MZIGO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM PEKEE, ©Usafi...