Adsterra netwok

https://www.effectiveperfomancenetwork./iimttpr57?key=9e991b2ffa81bb3fcdaa457a2bdb33ba

Saturday, May 29, 2021

MISULI YA BINADAMU

      Baada ya kuangalia mifupa Katika mada ilihopita πŸ‘ˆπŸΎ na tumejua mfumo wa mifupa ya binadamu.leo tunaendelea πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

      MISULI KATIKA MWILI WA BINADAMU

Misuli ni sehemu ya nyama kwenye mwili.Binadamu ana misuli 600.

Misuli inatabia ya kusinyaa,kurefuka na kulegea.Misuli iliyounganishwa Ncha za mifupa ikisinyaa huifanya mifupa iweze kujongea

Msuli mmoja ukisinyaa huvuta mfupa,na msuli wa pili ukisinyaa unarudisha mfupa mahali ulipokua awali

Msuli mmoja usinyaa ule wa pili kulegea,misuli mingine haikuunganishwa na mifupa mfanoπŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

A.misuli inayobeba mishipa ya damu kuiwezesha damu kuzunguka mwilini

B.mapafu na moyo hufanya kazi kwasababu ya mjongeo wa misuli Mara kwa mara.

Misuli ya binadamu iko katika sehemu mbili ambayo misuli ya hiari na isiyo ya hiari na iko Kama hivi πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

1.MISULI YA HIARI ni ile ambayo hujongea mara mtu anapoamua kusimama,kukaa na kujongea kuelekea mahala popote.Hi ni misuli ile iliyoshikilia kwenye mifupa.

2.MISURI ISIYO YA HIARI ni ile ambayo husafirisha chakula tumboni Latina njia ya chakula,na ile ya moyo inayosjkuma damu kwenda sehemu nyingine za mwili.

Misuli yote ipo Nje ya mifupa na Ndani ya ngozi,Misuli inasinyaa na kulegea kulingana na kazi inayofanyika.hadi hapo☝🏾☝🏾☝🏾 tuko P1,usiache Ku comment kama Una Swali au maoni asante tukutane kwa mada inayo kujaπŸ‘‰πŸΎπŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ€—


No comments:

Post a Comment

Kitanda free delivery

 @kitandafreedelivery  Piga/SMS/WhatsApp: 0785322941 YANAFANYIKA MALIPO BAADA YA KUFIKISHIWA MZIGO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM PEKEE, ©Usafi...