Unapo fuga kaa na kuwaweka katika vizimba hakikisha unawapatia chakula,kaa wanakula kiasi kidogo cha gm ya chakula.Wanao fugwa huwa ni kaa maji ambao hawajakomaa na unapowaeka kwenye vizimba ili waweze kukomaa na uwavune uuze au uachemshe,kaa Ana we za kukomaa haraka ama kuchelewa kutokana na aina ya chakula unachopewa,na ili kaa wakomae halaka wanahtaji chakula chenye madini joto/chunvi kwa wingi ambacho kitamkomaza ndani ya wiki 3 hadi 4,lakini ukitumia vyenye protein zaidi anaweza kukaa kwenye kizimba kwa muda mrefu zaidi wiki 6 hadi 8.Chakula kinachofaa zaidi ili wakomae haraka dagaadagaa,au chakula maalumu kilichetengeneza ,na vyenye kumfanya awe na uzito zaidi.tútaendea kwenye Page nyingine utengenezaji wa chakula cha kaa inakuja😳👉🏾
Ujuzi na mafundisho ya elimu kuhusu: Ufugaji wakaa "crabs",mafundisho ya komputer,network za simu&computer,pamoja na masomo primary na secondary
Adsterra netwok
https://www.effectiveperfomancenetwork./iimttpr57?key=9e991b2ffa81bb3fcdaa457a2bdb33ba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kitanda free delivery
@kitandafreedelivery Piga/SMS/WhatsApp: 0785322941 YANAFANYIKA MALIPO BAADA YA KUFIKISHIWA MZIGO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM PEKEE, ©Usafi...
-
Kaa ni moja ya jamii ya samaki waishio baharini,kaa ana umbo ambalo liko tofauti na samaki wengine.Kutokana na umbo lake linamfanya pia awe ...
-
Tuendelee na somo letu,baada ya kuzingatia mambo muhimu ya kuzingatia napenda kuelezea kuhusu ufugaji wa kutumia VIZIMBA,zipo nyingi lakini...
-
JINSU YA KUFUNGUA NA KUA NA AKAUNTI ZA GOOGLE ZAIDI YA MOJA KWENYE SIMU Leo nataka ufaham jinsi ya kuongeza google account kwenye sim...
No comments:
Post a Comment