Adsterra netwok

https://www.effectiveperfomancenetwork./iimttpr57?key=9e991b2ffa81bb3fcdaa457a2bdb33ba

Thursday, June 3, 2021

MAGONJWA YA KUAMBUKIZA

   Ugonjwa unaweza kuambukizwa kwa njia nyingi,baadhi ya njia hizo ni hewa,kugusana na mgonjwa,kula na mgonjwa na ulaji wa nyakula.

      MAGONJWA YA KUAMBUKIZAπŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

Yapo magonjwa ya kuambukiza Kama haya Surua,Tete kuwanga,Polio,Kifadulo,Pepopunda,Kifua kikuu,Ukimwi,Ebora na COVID 19πŸ‘‰πŸΎπŸ‘‡πŸ½

A.SURUA ni ugonjwa ambao unaoshambulia zaidi watoto wenye umri chini ya miaka mitano,Watoto wenye unyafuzi na nyongea ushambuliwa kwa urahisi zaidi na huenezwa kwa njia ya HEWA.

                  DALILI YA SURUAπŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

.Macho kua mekundu,

.Hua na homa kali zaidi ya siku tatu,

.Kuota vipele zaidi kinywani na baadae kuenea mwili mzima,

.Kuharisha na kutapika.

                   KUZUIA SURUAπŸ€”πŸ‘‡πŸ½

.Watoto wapate chanjo ya surua

.Watu wanaougua surua watengwe na wazima

 .Wasio kua na Surua wasishirikiane vyombo na nguo na mgonjwa ambaye ana surua.

B.KIFADURO huwapata zaidi wototo wenye umri wa miaka miwili,na huenezwa kwa njia ya KIKOHOZI

           DALILI YA KIFADUROπŸ˜”πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

.Kikohozi kikavu

.Kushindwa kuvuta punzi vizuri

.Kupata maumivu kooni

.Uso wake kuvimba na

.Huwa na mwili dhaifu.

           KUZUIA KIFADUROπŸ™„πŸ™„πŸ‘‡πŸ½

.WatotoπŸ‘¨‍πŸ‘¨‍πŸ‘§‍πŸ‘¦wapate chanjo

.Makohozi na makamasi yatupwe chooni

.WatotoπŸ‘―wenye ugonjwa wasichanganywe na wazima.

C.DONDA KOO ni ugonjwa unaoambikizwa kwa bacteria waitwao BASILA na kuenezwa kea njia ya HEWA

         DALILI YA DONDA KOOπŸ™‚πŸ™‚πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

.Kua na vidonda kooni

.Kuwa na homa kali

.Kua na mafua na kichwa kuuma

.Kushindwa kumeza chakula na kupumua vizuri.

              KUZUIA DONDA KOOπŸ€”πŸ€”

.Mgonjwa apelekwe kliniki kupata chanjo na mgonjwa apewe matibabu.

D.TETEKUWANGA ni ugonjwa unaoenezwa kwa VIRUS na huenea kwa kugusana na mgonjwa mwenye tetekuwanga.

        DALILI YA TETEKUWANGAπŸ™„πŸ™„πŸ‘‡πŸ½

.Mwili kutetemeka

.Kupata maumivu ya mgongo na

.Kuwait na vipele mwilini

     KUZUIA TETEKUWANGAπŸ€”πŸ˜³πŸ˜³πŸ‘‡πŸ½

.Mgonjwa atengwe na wenye AF ya

.Anaye hudumia awe amepata chanjo

.Nguo za mgonjwa zisivaliwe na wenye AF ya na 

.Mgonjwa apelekwe Hospitalini au kliniki.

E.POLIO ni ugonjwa unaolemaza viungo,huenezwa kea njia ya MAJI na VYAKULA

         DALILI YA POLIOπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜²

.Huumwa kichwa na mwili wore

.Kupata homa kali kuharisha na kutaika

.Shingo na miguu ya mgonjwa kukaza 

        KUZUIA  POLIOπŸ‘‚πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½

.πŸ‘¬πŸ‘¬watoto wapewe chanjo

.Maji ya kunywa yawe safi na salama

.Vyoo viwe safi na 

.Wagonjwa wapelekwe hospitalini.

πŸ™„πŸ™„πŸ™„kuna magonjwa mengi ya kuambukiza Kama CORONA na mengineyo,usiache kutembelea ukarasa huu kufahamu mambo Mambo mbali.jiandae kwa maada inayo kujia πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘†πŸΎ



Kitanda free delivery

 @kitandafreedelivery  Piga/SMS/WhatsApp: 0785322941 YANAFANYIKA MALIPO BAADA YA KUFIKISHIWA MZIGO KWA WAKAZI WA DAR ES SALAAM PEKEE, ©Usafi...